Kuhakiki taarifa, Mpiga Kura anatakiwa kuwa na Namba ya Mpiga Kura ambayo ipo kwenye Kadi ya Mpiga Kura.
Kuhakiki taarifa weka namba ya mpiga kura (kama ilivyoandikwa kwenye kadi yako ya Mpiga Kura, Mfano : T-XXXX-XXXX-XXX-X) kwenye kisanduku hapo chini kisha bonyesha kitufe cha Tafuta